DidsyJohn
Monday, January 1, 2024
Sunday, December 31, 2023
Wednesday, March 12, 2014
MH. Samweli Sitta achaguliwa kuwa mwenyekiti wa kudumu wa Bunge maalumu la katiba,
Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa bunge maalimu la katiba Mh Samweli Sitta, ashinda nafasi hiyo kwa kura 487 na kumuacha mbali mpinzani wake Mh Hashim Rungwe akiwa na kura 69 kati ya kura 593 zilizopigwa na 7 kuharibika. Akitoa neno la shukran Bungeni mjini Dodoma Mh Samweli Sitta amewashukuru wajumbe wote wa Bunge maalimu la katiba kwa kuweza kumpa nafasi hiyo na kumpongeza mpinzani wake Mh Hashim Rungwe kwa kukubali nafasi hiyo.
Wajumbe wakipiga kura
Akipunga mkono
Akipewa mikono ya pongezi
Akitoa shukran zake
Kila la kheri.
Akipunga mkono
Akipewa mikono ya pongezi
Akitoa shukran zake
Kila la kheri.
Sunday, July 28, 2013
RAMA MLA WATU’ APELEKWA MIREMBE KWA UKICHAA-GPL
Kijana Ramadhan Seleman aka "Rama mla watu" baada ya kubainika kuwa na matatizo ya akili kutokana na tuhuma za mauaji ya Salome Yohana. Licha ya kuondolewa na hatia hiyo yupo chini ya uangalizi. Jumatano alirudishwa katika hospitali ya wahalifu ya Isanga iliyopo Mirembe mkoani Dodoma.
Kijana huyo alisafirishwa kupelekwa huko hospitalini kufuatiaamri iliyotolewa na mahakama kuu, kanda ya dar es salaam katika kesi yake ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili na mama yake Khadija Musa. Baada ya kubainika alitenda kosa hilo akiwa na matatizo ya akili.
Monday, December 17, 2012
New Imac 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)