Wednesday, March 12, 2014

MH. Samweli Sitta achaguliwa kuwa mwenyekiti wa kudumu wa Bunge maalumu la katiba,

Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa bunge maalimu la katiba Mh Samweli Sitta, ashinda nafasi hiyo kwa kura 487 na kumuacha mbali mpinzani wake Mh Hashim Rungwe akiwa na kura 69 kati ya kura 593 zilizopigwa na 7 kuharibika. Akitoa neno la shukran Bungeni mjini Dodoma Mh Samweli Sitta amewashukuru wajumbe wote wa Bunge maalimu la katiba kwa kuweza kumpa nafasi hiyo na kumpongeza mpinzani wake Mh Hashim Rungwe kwa kukubali nafasi hiyo.
                                                        
                                                                   
                                                         Wajumbe wakipiga kura


                                                                  Akipunga mkono
                                                                  Akipewa mikono ya pongezi
                                                            Akitoa shukran zake
Kila la kheri.




Sunday, July 28, 2013

RAMA MLA WATU’ APELEKWA MIREMBE KWA UKICHAA-GPL


Kijana Ramadhan Seleman aka "Rama mla watu" baada ya kubainika kuwa na matatizo ya akili kutokana na tuhuma za mauaji ya Salome Yohana. Licha ya kuondolewa na hatia hiyo yupo chini ya uangalizi. Jumatano alirudishwa katika hospitali ya wahalifu ya Isanga iliyopo Mirembe mkoani Dodoma. 
Kijana huyo alisafirishwa kupelekwa huko hospitalini kufuatiaamri iliyotolewa na mahakama kuu, kanda ya dar es salaam katika kesi yake ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili na mama yake Khadija Musa. Baada ya kubainika alitenda kosa hilo akiwa na matatizo ya akili.

Monday, December 17, 2012